Mwanzo 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha wakasafiri, nao watu wa majiji yaliyowazunguka wakamwogopa Mungu,+ kwa hiyo hawakuwafuatilia wana wa Yakobo. 2 Mambo ya Nyakati 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tena wakayapiga majiji yote pande zote kuzunguka Gerari, kwa maana hofu+ ya Yehova ilikuwa imekuja juu yao; nao wakayapora majiji yote, kwa maana kulikuwa na vitu vingi vya kupora katika majiji hayo.+ 2 Mambo ya Nyakati 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na hofu+ ya Yehova ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda pande zote, nao hawakupigana vita na Yehoshafati.+
5 Kisha wakasafiri, nao watu wa majiji yaliyowazunguka wakamwogopa Mungu,+ kwa hiyo hawakuwafuatilia wana wa Yakobo.
14 Tena wakayapiga majiji yote pande zote kuzunguka Gerari, kwa maana hofu+ ya Yehova ilikuwa imekuja juu yao; nao wakayapora majiji yote, kwa maana kulikuwa na vitu vingi vya kupora katika majiji hayo.+
10 Na hofu+ ya Yehova ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda pande zote, nao hawakupigana vita na Yehoshafati.+