Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 66:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+

  • Ezekieli 38:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami hakika nitajitukuza mwenyewe na kujitakasa mwenyewe+ na kujijulisha mwenyewe mbele ya macho ya mataifa mengi; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+

  • Yoeli 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Umati, umati umo katika bonde la uamuzi,+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu katika bonde la uamuzi.+

  • Ufunuo 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hayo, kwa kweli, ni maneno yanayoongozwa+ na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme+ wa dunia nzima inayokaliwa,+ ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya ile siku kuu+ ya Mungu Mweza-Yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki