33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+
11 Naye Yehova atatoa sauti yake+ mbele ya jeshi lake,+ kwa maana kambi yake ina watu wengi sana.+ Kwa maana yeye anayelitimiza neno lake ni mwenye nguvu; maana siku ya Yehova ni kuu+ na yenye kuogopesha sana, naye ni nani anayeweza kustahimili mbele yake?”+
15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu, siku ya taabu na ya maumivu makali,+ siku ya dhoruba na ya ukiwa, siku ya giza na ya weusi,+ siku ya mawingu na ya weusi mzito,
12 mkingojea+ na kuweka karibu akilini kuwapo kwa siku ya Yehova,+ ambayo kupitia hiyo mbingu zikiwa zimewaka moto zitayeyushwa+ na vitu vya msingi vikiwa moto sana vitayeyuka!