Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Pigeni mayowe,+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu!+ Itakuja kama uporaji kutoka kwa Mweza-Yote.+

  • Yeremia 25:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+

  • Ezekieli 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 kwa maana siku iko karibu, naam, siku ya Yehova iko karibu.+ Siku ya mawingu,+ itakuwa wakati uliowekwa wa mataifa.+

  • Yoeli 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ole wake siku ile;+ kwa sababu siku ya Yehova iko karibu,+ nayo itakuja kama mporaji kutoka kwa Mweza-Yote!

  • Yoeli 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Yehova atatoa sauti yake+ mbele ya jeshi lake,+ kwa maana kambi yake ina watu wengi sana.+ Kwa maana yeye anayelitimiza neno lake ni mwenye nguvu; maana siku ya Yehova ni kuu+ na yenye kuogopesha sana, naye ni nani anayeweza kustahimili mbele yake?”+

  • Sefania 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu, siku ya taabu na ya maumivu makali,+ siku ya dhoruba na ya ukiwa, siku ya giza na ya weusi,+ siku ya mawingu na ya weusi mzito,

  • 2 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 mkingojea+ na kuweka karibu akilini kuwapo kwa siku ya Yehova,+ ambayo kupitia hiyo mbingu zikiwa zimewaka moto zitayeyushwa+ na vitu vya msingi vikiwa moto sana vitayeyuka!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki