Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 110:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Atatekeleza hukumu katikati ya mataifa;+

      Atafanya maiti zijae.+

      Hakika atamvunja vipande-vipande aliye kichwa juu ya nchi yenye hesabu kubwa ya watu.+

  • Isaya 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova ataelekeza fikira zake juu ya jeshi lililo juu mahali pa juu, na juu ya wafalme wa nchi juu ya nchi.+

  • Zekaria 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Na Yehova ataenda na kupiga vita juu ya mataifa+ hayo kama katika siku yake ya vita, katika siku ya pigano.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki