Zaburi 110:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Atatekeleza hukumu katikati ya mataifa;+Atafanya maiti zijae.+Hakika atamvunja vipande-vipande aliye kichwa juu ya nchi yenye hesabu kubwa ya watu.+ Isaya 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova ataelekeza fikira zake juu ya jeshi lililo juu mahali pa juu, na juu ya wafalme wa nchi juu ya nchi.+ Zekaria 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na Yehova ataenda na kupiga vita juu ya mataifa+ hayo kama katika siku yake ya vita, katika siku ya pigano.+
6 Atatekeleza hukumu katikati ya mataifa;+Atafanya maiti zijae.+Hakika atamvunja vipande-vipande aliye kichwa juu ya nchi yenye hesabu kubwa ya watu.+
21 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova ataelekeza fikira zake juu ya jeshi lililo juu mahali pa juu, na juu ya wafalme wa nchi juu ya nchi.+
3 “Na Yehova ataenda na kupiga vita juu ya mataifa+ hayo kama katika siku yake ya vita, katika siku ya pigano.+