15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+
13 Ukajitokeza kwa ajili ya wokovu wa watu wako,+ upate kumwokoa mtiwa-mafuta wako. Ulimvunja vipande-vipande aliye kichwa kutoka kwa nyumba ya mwovu.+ Msingi uliwekwa wazi, mpaka shingoni.+Sela.