Yoshua 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Yoshua akateka majiji yote ya wafalme hao, naye akawakamata wafalme wao wote, akawapiga kwa makali ya upanga.+ Akawaangamiza,+ kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa ameamuru.+ Zaburi 68:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli Mungu mwenyewe atavunja vipande-vipande kichwa cha adui zake,+Utosi wenye nywele wa mtu yeyote anayetembea katika hatia yake.+ Zaburi 110:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Atatekeleza hukumu katikati ya mataifa;+Atafanya maiti zijae.+Hakika atamvunja vipande-vipande aliye kichwa juu ya nchi yenye hesabu kubwa ya watu.+
12 Na Yoshua akateka majiji yote ya wafalme hao, naye akawakamata wafalme wao wote, akawapiga kwa makali ya upanga.+ Akawaangamiza,+ kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa ameamuru.+
21 Kwa kweli Mungu mwenyewe atavunja vipande-vipande kichwa cha adui zake,+Utosi wenye nywele wa mtu yeyote anayetembea katika hatia yake.+
6 Atatekeleza hukumu katikati ya mataifa;+Atafanya maiti zijae.+Hakika atamvunja vipande-vipande aliye kichwa juu ya nchi yenye hesabu kubwa ya watu.+