Zaburi 55:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+ Ezekieli 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “ ‘Mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake naye kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki+ na afe kutokana nao, atakufa kwa sababu ya kutenda kwa njia isiyo ya haki.+ Luka 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ninawaambia ninyi, kwa kweli, hapana; lakini, msipotubu, ninyi nyote mtaangamizwa vivyo hivyo.”+
23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+
26 “ ‘Mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake naye kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki+ na afe kutokana nao, atakufa kwa sababu ya kutenda kwa njia isiyo ya haki.+