Zaburi 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na sakafu za vijito vya maji zikaonekana,+Na misingi ya nchi yenye kuzaa ikafunuliwa,+Kwa kemeo lako, Ee Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yako.+ Ezekieli 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitaubomoa ukuta ambao ninyi mmeupiga lipu kwa chokaa na kuuangusha chini, nao msingi wake utafunuliwa.+ Naye hakika ataanguka, nanyi mtafikia mwisho katikati yake; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+
15 Na sakafu za vijito vya maji zikaonekana,+Na misingi ya nchi yenye kuzaa ikafunuliwa,+Kwa kemeo lako, Ee Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yako.+
14 Nami nitaubomoa ukuta ambao ninyi mmeupiga lipu kwa chokaa na kuuangusha chini, nao msingi wake utafunuliwa.+ Naye hakika ataanguka, nanyi mtafikia mwisho katikati yake; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+