16 Nawe utalazimika kupanda na kuja juu ya watu wangu Israeli, kama mawingu ili kuifunika nchi.+ Itatukia katika siku za mwisho, nami hakika nitakuleta wewe juu ya nchi yangu,+ kusudi mataifa yanijue mimi wakati ninapojitakasa mwenyewe kupitia kwako mbele ya macho yao, Ee Gogu.” ’+