Zaburi 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela. Ezekieli 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nitafanya katikati yao matendo makubwa ya kisasi, kwa makaripio yenye ghadhabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoleta kisasi changu juu yao.” ’ ”+
16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela.
17 Nami nitafanya katikati yao matendo makubwa ya kisasi, kwa makaripio yenye ghadhabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoleta kisasi changu juu yao.” ’ ”+