Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami pia, kwa upande wangu, ni jambo lisilowaziwa, kwamba nimtendee Yehova dhambi kwa kuacha kusali kwa ajili yenu;+ nami nitawafundisha+ ninyi katika njia iliyo njema+ na iliyo sawa.

  • Zaburi 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Nitakufanya uwe na ufahamu na kukufundisha katika njia unayopaswa kuiendea.+

      Nitakupa shauri jicho langu likiwa linakutazama.+

  • Isaya 30:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+

  • Yeremia 42:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova Mungu wako na atuambie njia tunayopaswa kuitembea na jambo tunalopaswa kulifanya.”+

  • Mika 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na mataifa mengi hakika yatakwenda na kusema: “Njooni,+ twendeni juu kwenye mlima wa Yehova na kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo;+ naye atatufundisha njia zake,+ nasi tutatembea katika mapito yake.”+ Kwa maana sheria itatoka katika Sayuni, na neno la Yehova katika Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki