Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 73:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+

      Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+

  • Yeremia 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nilipoona jambo hilo, kwa sababu Israeli asiye mwaminifu alikuwa amefanya uzinzi, nilimfukuza+ nami nikampa cheti chake cha talaka kamili,+ ingawa hivyo Yuda, dada yake anayetenda kwa hila, hakuogopa, bali yeye mwenyewe pia akaanza kwenda na kufanya ukahaba.+

  • Yeremia 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Rudini, enyi wana waasi,’+ asema Yehova. “Kwa maana mimi nimekuwa mume wenu;+ nami nitawachukua, mmoja kutoka katika jiji moja na wawili kutoka katika familia moja, nami nitawaleta ninyi Sayuni.+

  • Ezekieli 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wakaanza kufanya ukahaba katika Misri.+ Wakati wa ujana wao walifanya ukahaba.+ Huko maziwa yao yalifinywa-finywa,+ na huko walivibana vifua vya ubikira wao.

  • Ezekieli 23:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Utafanyiwa mambo hayo kwa sababu uliyafuata mataifa kama kahaba,+ kwa sababu ulijitia unajisi kwa sanamu zao za mavi.+

  • Yakobo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki