22 Na katika machukizo yako yote na matendo yako ya ukahaba hukukumbuka siku za ujana wako ulipokuwa uchi na tupu; ulikuwa ukitupatupa mateke katika damu yako.+
13 Nami nitamtoza hesabu+ kwa ajili ya siku za sanamu za Baali+ alizokuwa akifukizia moshi,+ wakati alipokuwa akijipamba kwa pete yake na pambo+ lake na kuwafuata wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ naye alinisahau+ mimi,’ asema Yehova.