Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wakachangamana na hayo mataifa+

      Na kuanza kujifunza matendo yao.+

  • Yeremia 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na sasa kwa nini ujishughulishe na njia ya Misri+ ili kunywa maji ya Shihori?+ Na kwa nini ujishughulishe na njia ya Ashuru+ ili kunywa maji ya ule Mto?

  • Yeremia 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ndipo wewe pia utakapowaambia, ‘ “Kwa sababu baba zenu waliniacha,”+ asema Yehova, “nao wakaendelea kuifuata miungu mingine na kuitumikia na kuiinamia.+ Lakini wakaniacha mimi, nao hawakuishika sheria yangu.+

  • Yeremia 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao watasema: “Kwa sababu wameliacha agano la Yehova Mungu+ wao na kuinamia miungu mingine na kuitumikia.”’+

  • Ezekieli 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na walioponyoka kati yenu hakika watanikumbuka kati ya mataifa ambamo watakuwa wamechukuliwa mateka,+ kwa kuwa nimevunjika moyo kwa sababu ya moyo wao wenye kufanya uasherati ambao umegeuka na kuniacha+ na macho yao yanayozifuata sanamu zao za mavi katika uasherati;+ na nyuso zao hakika zitachukizwa na mambo mabaya ambayo wamefanya katika machukizo yao yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki