Yeremia 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Utawajibu, ‘“Kwa sababu mababu zenu waliniacha,”+ asema Yehova, “nao waliendelea kuifuata miungu mingine na kuiabudu na kuiinamia.+ Lakini waliniacha mimi, nao hawakuishika sheria yangu.+
11 Utawajibu, ‘“Kwa sababu mababu zenu waliniacha,”+ asema Yehova, “nao waliendelea kuifuata miungu mingine na kuiabudu na kuiinamia.+ Lakini waliniacha mimi, nao hawakuishika sheria yangu.+