Danieli 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waisraeli wote wamekiuka Sheria yako na kukuacha kwa kutotii sauti yako, hivi kwamba ukatumwagia laana na kiapo kilichoandikwa katika Sheria ya Musa mtumishi wa Mungu wa kweli,+ kwa maana tumekutendea Wewe dhambi. Amosi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Yuda,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walikataa sheria* ya Yehova,Na kwa sababu hawakufuata masharti yake;+Lakini uwongo uleule ambao mababu zao walifuata umewapotosha.+
11 Waisraeli wote wamekiuka Sheria yako na kukuacha kwa kutotii sauti yako, hivi kwamba ukatumwagia laana na kiapo kilichoandikwa katika Sheria ya Musa mtumishi wa Mungu wa kweli,+ kwa maana tumekutendea Wewe dhambi.
4 Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Yuda,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walikataa sheria* ya Yehova,Na kwa sababu hawakufuata masharti yake;+Lakini uwongo uleule ambao mababu zao walifuata umewapotosha.+