Waamuzi 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi wakamwacha Yehova, Mungu wa baba zao, aliyewatoa katika nchi ya Misri.+ Nao wakafuata miungu mingine, miungu ya watu waliowazunguka,+ wakaiinamia, na hivyo wakamkasirisha Yehova.+
12 Basi wakamwacha Yehova, Mungu wa baba zao, aliyewatoa katika nchi ya Misri.+ Nao wakafuata miungu mingine, miungu ya watu waliowazunguka,+ wakaiinamia, na hivyo wakamkasirisha Yehova.+