2 Nao kwa kweli wataitandaza mbele ya jua na mbele ya mwezi na mbele ya jeshi lote la mbingu ambalo wamelipenda na ambalo wamelitumikia na ambalo wamelifuata+ na ambalo wamelitafuta na ambalo wameliinamia.+ Haitakusanywa, wala haitazikwa. Itakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.”+
10 Watu hawa wabaya wanaokataa kuyatii maneno yangu,+ wanaotembea katika ukaidi wa moyo+ wao na wanaoendelea kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia,+ pia watakuwa kama mshipi huu ambao haufai kwa jambo lolote.’