Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nao walienda na kuitumikia miungu mingine na kuiinamia, miungu ambayo hawakuwa wameijua naye hakuwa amewapa.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana nitawaleta katika nchi ambayo nimewaapia mababu zao,+ inayotiririka maziwa na asali,+ nao hakika watakula+ na kushiba na kunenepa+ na kuigeukia miungu mingine,+ nao kwa kweli wataitumikia na kunitendea bila heshima na kulivunja agano langu.+

  • 2 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu wameniacha na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine+ ili kunitia uchungu kwa kazi zote za mikono yao,+ na ghadhabu yangu imewashwa juu ya mahali hapa wala haitazimwa.’”’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 kwa sababu wameniacha+ na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine,+ ili kunitia uchungu+ kwa matendo yote ya mikono yao,+ na ili ghadhabu+ yangu imwagike juu ya mahali hapa wala isizimwe.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki