Kumbukumbu la Torati 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nitakapowaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zao+—nchi inayotiririka maziwa na asali+—nao wale na kushiba na kufanikiwa,*+ wataigeukia miungu mingine na kuiabudu na kunidharau na kulivunja agano langu.+ Kumbukumbu la Torati Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 31:20 rs 171-172 Kumbukumbu la Torati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 31:20 Kutoa Sababu, kur. 171-172
20 Nitakapowaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zao+—nchi inayotiririka maziwa na asali+—nao wale na kushiba na kufanikiwa,*+ wataigeukia miungu mingine na kuiabudu na kunidharau na kulivunja agano langu.+