Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hivyo wakamwacha Yehova Mungu wa baba zao aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ wakafuata miungu mingine kutoka kati ya miungu ya watu waliowazunguka pande zote,+ wakaanza kuiinamia, hata wakamtia uchungu Yehova.+

  • 1 Wafalme 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao watasema, ‘Ni kwa sababu walimwacha Yehova Mungu wao, aliyekuwa amewatoa mababu zao katika nchi ya Misri,+ nao wakashikamana na miungu mingine+ na kuiinamia na kuitumikia. Ndiyo sababu Yehova alileta juu yao msiba huu wote.’”+

  • 2 Wafalme 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na ikawa kwamba kwa sababu wana wa Israeli walimtendea dhambi+ Yehova, Mungu wao, aliyewapandisha kutoka katika nchi ya Misri kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ nao wakaanza kuogopa miungu mingine;+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao watasema, ‘Ni kwa sababu walimwacha Yehova+ Mungu wa mababu zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ nao wakashikamana na miungu mingine+ na kuiinamia na kuitumikia.+ Ndiyo sababu alileta juu yao msiba huu wote.’”+

  • Yeremia 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa sababu wameniacha+ mimi nao wamepafanya mahali hapa pasitambuliwe+ na kufukiza moshi wa dhabihu ndani yake kwa miungu mingine ambayo hawakuijua,+ wao pamoja na mababu zao na wafalme wa Yuda; nao wamepajaza mahali hapa damu ya wasio na hatia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki