Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+

  • 2 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu wameniacha na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine+ ili kunitia uchungu kwa kazi zote za mikono yao,+ na ghadhabu yangu imewashwa juu ya mahali hapa wala haitazimwa.’”’+

  • Isaya 65:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Lakini ninyi ndio wale watu wanaomwacha Yehova,+ wale wanaousahau mlima wangu mtakatifu,+ wale wanaoandaa meza kwa ajili ya mungu wa Bahati Njema+ na wale wanaojaza divai iliyochanganywa kwa ajili ya mungu wa Majaliwa.+

  • Yeremia 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘kwa sababu kuna mambo mawili mabaya ambayo watu wangu wamefanya: Wameniacha mimi,+ niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,+ ili wajichimbie matangi ya maji, matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kutunza maji.’

  • Yeremia 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Wewe mwenyewe umeniacha,’+ asema Yehova. ‘Unaendelea kutembea kwa kurudi nyuma.+ Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza.+ Nimechoka kujuta.+

  • Yeremia 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+

  • Danieli 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki