Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Manase pia alimwaga kwa wingi sana damu isiyo na hatia,+ mpaka alipolijaza Yerusalemu kutoka mwisho huu mpaka mwisho ule, mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda dhambi kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+

  • 2 Wafalme 24:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na pia kwa sababu ya damu isiyo na hatia+ aliyokuwa amemwaga, hivi kwamba akalijaza Yerusalemu damu isiyo na hatia, na Yehova hakukubali kutoa msamaha.+

  • Isaya 59:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Miguu yao huendelea kukimbia kuelekea ubaya mtupu,+ nao wanafanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia.+ Mawazo yao ni mawazo yenye madhara;+ uporaji na mvunjiko zimo katika njia kuu zao.+

  • Yeremia 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Pia, alama za damu za nafsi+ za maskini wasio na hatia+ zimepatikana katika pindo za nguo zako. Sikuzipata katika tendo la kuvunja na kuingia, lakini ziko juu ya hizo zote.+

  • Maombolezo 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+

      Mlikuwa katikati yake wale wanaomwaga damu ya waadilifu.+

  • Mathayo 23:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ili ije juu yenu damu yote ya uadilifu iliyomwagwa juu ya dunia,+ tangu damu+ ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua katikati ya patakatifu na madhabahu.+

  • Ufunuo 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki