15Na Yehova akaniambia: “Kama Musa+ na Samweli+ wangekuwa wamesimama mbele zangu, nafsi yangu haingewaelekea watu hawa.+ Wangefukuzwa mbele za uso wangu, ili watoke waende.+
25 “Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mnaendelea kula pamoja na damu,+ nayo macho yenu mnaendelea kuyainua kuelekea sanamu zenu za mavi,+ nanyi mnaendelea kuimwaga damu.+ Kwa hiyo je, mnapaswa kuimiliki nchi hii?+