Ezekieli 33:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Mnakula chakula pamoja na damu,+ nanyi mnayainua macho yenu kwa sanamu zenu zinazochukiza* na kuendelea kumwaga damu.+ Basi kwa nini mwimiliki nchi hii?
25 “Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Mnakula chakula pamoja na damu,+ nanyi mnayainua macho yenu kwa sanamu zenu zinazochukiza* na kuendelea kumwaga damu.+ Basi kwa nini mwimiliki nchi hii?