Mwanzo 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ila tu nyama pamoja na uhai wake*—damu yake+—hampaswi kula.+ Mambo ya Walawi 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndiyo sababu nimewaambia Waisraeli hivi: “Hakuna yeyote kati yenu anayepaswa kula damu, na hakuna mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu+ anayepaswa kula damu.”+
12 Ndiyo sababu nimewaambia Waisraeli hivi: “Hakuna yeyote kati yenu anayepaswa kula damu, na hakuna mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu+ anayepaswa kula damu.”+