Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Isipokuwa tu nyama pamoja na nafsi+ yake—damu+ yake—msile.+

  • Mambo ya Walawi 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndiyo sababu nimewaambia wana wa Israeli: “Nafsi yoyote kati yenu isile damu na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu+ hapaswi kula damu.”+

  • Kumbukumbu la Torati 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ila tu damu msile.+ Utaimwaga kwenye udongo kama maji.+

  • 1 Samweli 14:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na watu wakaanza kukimbilia nyara kwa pupa+ na kuchukua kondoo na ng’ombe na ndama na kuwachinja juu ya nchi, na wale watu wakaanza kula pamoja na damu.+

  • Matendo 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na damu+ na vitu vilivyonyongwa+ na uasherati.+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya,+ mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki