12 Ndiyo sababu nimewaambia wana wa Israeli: “Nafsi yoyote kati yenu isile damu na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu+ hapaswi kula damu.”+
32 Na watu wakaanza kukimbilia nyara kwa pupa+ na kuchukua kondoo na ng’ombe na ndama na kuwachinja juu ya nchi, na wale watu wakaanza kula pamoja na damu.+
29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na damu+ na vitu vilivyonyongwa+ na uasherati.+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya,+ mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”