-
1 Mambo ya Nyakati 11:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Naye akaendelea kusema: “Ni jambo lisiloweza kuwaziwa kwangu, kwa habari ya Mungu wangu, nifanye hivi! Je, ninywe damu+ ya watu hawa kwa kuhatarisha nafsi zao? Kwa maana waliyaleta kwa kuhatarisha nafsi zao.” Naye hakukubali kuyanywa.+ Hayo ndiyo mambo ambayo wale wanaume watatu wenye nguvu walifanya.
-