Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Isipokuwa tu nyama pamoja na nafsi+ yake—damu+ yake—msile.+

  • Mambo ya Walawi 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu, katika makao yenu yote: msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”

  • Mambo ya Walawi 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Na mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu atakayekula namna yoyote ya damu,+ nitauweka uso wangu dhidi ya nafsi+ hiyo inayokula damu, nami hakika nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.

  • Kumbukumbu la Torati 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ila tu damu msile.+ Utaimwaga kwenye udongo kama maji.+

  • Ezekieli 33:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mnaendelea kula pamoja na damu,+ nayo macho yenu mnaendelea kuyainua kuelekea sanamu zenu za mavi,+ nanyi mnaendelea kuimwaga damu.+ Kwa hiyo je, mnapaswa kuimiliki nchi hii?+

  • Matendo 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na damu+ na vitu vilivyonyongwa+ na uasherati.+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya,+ mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki