25 Nao wakaanza kuteka majiji yenye ngome+ na udongo mnono+ na kumiliki nyumba zilizojaa vitu vyote vyema,+ matangi yaliyochimbwa chini,+ mashamba ya mizabibu na ya mizeituni+ na miti ya vyakula kwa wingi, nao wakaanza kula na kushiba+ na kunenepa+ na kufanikiwa katika wema wako mkubwa.+