Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+

      Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+

      Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+

      Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.

  • Yeremia 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 yeye anayesema, ‘Nitajijengea nyumba yenye nafasi tele na vyumba vya juu vyenye nafasi kubwa;+ na madirisha yangu yatapanuliwa kwa ajili yake, nayo itafunikwa kwa mierezi+ na kupakwa rangi nyekundu.’+

  • Hosea 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Pia wakashiba kulingana na malisho yao.+ Walishiba, kisha moyo wao ukaanza kujiinua.+ Ndiyo sababu walinisahau mimi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki