Kumbukumbu la Torati 32:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake. Yeremia 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 yeye anayesema, ‘Nitajijengea nyumba yenye nafasi tele na vyumba vya juu vyenye nafasi kubwa;+ na madirisha yangu yatapanuliwa kwa ajili yake, nayo itafunikwa kwa mierezi+ na kupakwa rangi nyekundu.’+ Hosea 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Pia wakashiba kulingana na malisho yao.+ Walishiba, kisha moyo wao ukaanza kujiinua.+ Ndiyo sababu walinisahau mimi.+
15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.
14 yeye anayesema, ‘Nitajijengea nyumba yenye nafasi tele na vyumba vya juu vyenye nafasi kubwa;+ na madirisha yangu yatapanuliwa kwa ajili yake, nayo itafunikwa kwa mierezi+ na kupakwa rangi nyekundu.’+
6 Pia wakashiba kulingana na malisho yao.+ Walishiba, kisha moyo wao ukaanza kujiinua.+ Ndiyo sababu walinisahau mimi.+