Mambo ya Walawi 25:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nayo nchi itatoa mazao yake,+ nanyi mtakula na kushiba na kukaa kwa usalama juu yake.+ Kumbukumbu la Torati 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+ Hosea 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Pia wakashiba kulingana na malisho yao.+ Walishiba, kisha moyo wao ukaanza kujiinua.+ Ndiyo sababu walinisahau mimi.+
10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+
6 Pia wakashiba kulingana na malisho yao.+ Walishiba, kisha moyo wao ukaanza kujiinua.+ Ndiyo sababu walinisahau mimi.+