2 Wafalme 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hata Yuda hawakushika amri za Yehova, Mungu wao,+ lakini walianza kutembea katika sheria za Israeli+ ambazo walitunga. Ezekieli 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Dada yake Oholiba alipoona jambo hilo,+ basi akatimiza tamaa yake ya kimwili kwa uharibifu mkubwa kuliko yeye, na ukahaba wake mwingi kuliko uasherati wa dada yake.+
19 Hata Yuda hawakushika amri za Yehova, Mungu wao,+ lakini walianza kutembea katika sheria za Israeli+ ambazo walitunga.
11 “Dada yake Oholiba alipoona jambo hilo,+ basi akatimiza tamaa yake ya kimwili kwa uharibifu mkubwa kuliko yeye, na ukahaba wake mwingi kuliko uasherati wa dada yake.+