Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Yuda wakaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ hivi kwamba wakamchochea+ kuwa na wivu kuliko mambo yote ambayo mababu zao walikuwa wamefanya kwa dhambi zao ambazo walitenda.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Edomu wakaendelea kuasi kutoka chini ya mkono wa Yuda mpaka leo hii. Wakati huo ndipo Libna+ wakaanza kuasi kutoka chini ya mkono wake, kwa sababu yeye alikuwa amemwacha Yehova Mungu wa mababu zake.+

  • Yeremia 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nilipoona jambo hilo, kwa sababu Israeli asiye mwaminifu alikuwa amefanya uzinzi, nilimfukuza+ nami nikampa cheti chake cha talaka kamili,+ ingawa hivyo Yuda, dada yake anayetenda kwa hila, hakuogopa, bali yeye mwenyewe pia akaanza kwenda na kufanya ukahaba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki