2 Mambo ya Nyakati 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini tangu siku hiyo Waedomu wameendelea kuiasi nchi ya Yuda. Watu wa Libna+ pia walimwasi Yehoramu wakati huo, kwa sababu alikuwa amemwacha Yehova Mungu wa mababu zake.+
10 Lakini tangu siku hiyo Waedomu wameendelea kuiasi nchi ya Yuda. Watu wa Libna+ pia walimwasi Yehoramu wakati huo, kwa sababu alikuwa amemwacha Yehova Mungu wa mababu zake.+