Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wana wa Israeli wakafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao,+ wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.+

  • 2 Wafalme 17:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hata Yuda hawakushika amri za Yehova, Mungu wao,+ lakini walianza kutembea katika sheria za Israeli+ ambazo walitunga.

  • 2 Mambo ya Nyakati 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na ikawa kwamba mara tu ufalme wa Rehoboamu ulipofanywa imara+ na mara tu alipokuwa na nguvu, akaiacha sheria ya Yehova,+ na pia Israeli+ wote pamoja naye.

  • Yeremia 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nilipoona jambo hilo, kwa sababu Israeli asiye mwaminifu alikuwa amefanya uzinzi, nilimfukuza+ nami nikampa cheti chake cha talaka kamili,+ ingawa hivyo Yuda, dada yake anayetenda kwa hila, hakuogopa, bali yeye mwenyewe pia akaanza kwenda na kufanya ukahaba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki