Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nao moyo wako uinuke juu,+ na umsahau Yehova Mungu wako, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa;+

  • Kumbukumbu la Torati 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+

      Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+

      Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+

      Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hata hivyo, mara tu alipopata nguvu, moyo wake ukawa na majivuno+ hata kufikia hatua ya kusababisha uharibifu,+ hivi kwamba akatenda kwa ukosefu wa uaminifu kwa Yehova Mungu wake, akaingia katika hekalu la Yehova ili kufukiza uvumba juu ya madhabahu ya uvumba.+

  • Methali 30:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki