2 Fanyeni kesi na mama yenu;+ fanyeni kesi, kwa maana yeye si mke wangu+ nami si mume wake.+ Naye anapaswa kuondolea mbali uasherati wake kutoka mbele yake na matendo yake ya uzinzi kutoka katikati ya maziwa yake,+
15 “Ubaya wao wote ulikuwa katika Gilgali,+ kwa maana hapo nililazimika kuwachukia.+ Nitawafukuzia mbali kutoka katika nyumba yangu mwenyewe kwa sababu ya uovu wa matendo yao.+ Sitaendelea kuwapenda.+ Wakuu wao wote wanatenda kwa ukaidi.+