Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lo! Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+ Ulikuwa umejaa haki;+ uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+ lakini sasa ni wauaji.+

  • Ezekieli 23:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo nilimtia mkononi mwa wale wanaompenda kwa tamaa,+ mkononi mwa wana wa Ashuru, ambao alikuwa na uchu kuwaelekea.+

  • Hosea 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Fanyeni kesi na mama yenu;+ fanyeni kesi, kwa maana yeye si mke wangu+ nami si mume wake.+ Naye anapaswa kuondolea mbali uasherati wake kutoka mbele yake na matendo yake ya uzinzi kutoka katikati ya maziwa yake,+

  • Hosea 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ubaya wao wote ulikuwa katika Gilgali,+ kwa maana hapo nililazimika kuwachukia.+ Nitawafukuzia mbali kutoka katika nyumba yangu mwenyewe kwa sababu ya uovu wa matendo yao.+ Sitaendelea kuwapenda.+ Wakuu wao wote wanatenda kwa ukaidi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki