Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ijapokuwa unafanya uasherati, Ee Israeli,+ Yuda asiwe na hatia,+ nanyi msije Gilgali,+ wala msiende Beth-aveni+ wala kuapa ‘Kama anavyoishi Yehova!’+

  • Hosea 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Mambo ya uchawi,+ pia yasiyo ya kweli,+ yametokea Gileadi. Wametoa dhabihu za ng’ombe katika Gilgali.+ Zaidi ya hayo, madhabahu zao ni kama mafungu ya mawe katika matuta ya shamba.+

  • Amosi 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wala msitafute Betheli,+ wala msiende Gilgali,+ wala msivuke Beer-sheba;+ kwa sababu Gilgali litakwenda uhamishoni;+ Betheli nalo litakuwa kitu cha uchawi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki