Hosea 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kule Gileadi watu wametenda kwa udanganyifu*+ na uwongo. Huko Gilgali wametoa dhabihu za ng’ombe dume,+Na madhabahu zao ni kama marundo ya mawe katika mitaro iliyo shambani.+
11 Kule Gileadi watu wametenda kwa udanganyifu*+ na uwongo. Huko Gilgali wametoa dhabihu za ng’ombe dume,+Na madhabahu zao ni kama marundo ya mawe katika mitaro iliyo shambani.+