2 Wafalme 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 nao wakaendelea kujisimamishia nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima+ kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi;+ Hosea 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa maana Efraimu amezidisha madhabahu ili kutenda dhambi.+ Amekuwa na madhabahu ili atende dhambi.+
10 nao wakaendelea kujisimamishia nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima+ kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi;+
11 “Kwa maana Efraimu amezidisha madhabahu ili kutenda dhambi.+ Amekuwa na madhabahu ili atende dhambi.+