28 Na huko mtalazimika kuitumikia miungu mingine,+ kazi ya mikono ya mwanadamu, miti na mawe,+ ambayo haiwezi kuona wala kusikia wala kula wala kunusa.+
11 “Mambo ya uchawi,+ pia yasiyo ya kweli,+ yametokea Gileadi. Wametoa dhabihu za ng’ombe katika Gilgali.+ Zaidi ya hayo, madhabahu zao ni kama mafungu ya mawe katika matuta ya shamba.+