Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 50:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Yehova amesema hivi: “Basi, kiko wapi cheti cha talaka+ cha mama yenu, ambaye nilimfukuza?+ Au ni nani kati ya wakopeshaji wangu ambaye nimewauza ninyi kwake?+ Tazama! Mmeuzwa kwa sababu ya makosa+ yenu wenyewe, na mama yenu amefukuzwa kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.+

  • Yeremia 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nilipoona jambo hilo, kwa sababu Israeli asiye mwaminifu alikuwa amefanya uzinzi, nilimfukuza+ nami nikampa cheti chake cha talaka kamili,+ ingawa hivyo Yuda, dada yake anayetenda kwa hila, hakuogopa, bali yeye mwenyewe pia akaanza kwenda na kufanya ukahaba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki