Isaya 50:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Yehova anasema hivi: “Kiko wapi cheti cha talaka+ cha mama yenu, ambaye nilimfukuza? Au niliwauza kwa yupi kati ya wakopeshaji wangu? Tazameni! Mliuzwa kwa sababu ya uovu wenu,+Na mama yenu alifukuzwa kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 50:1 ip-2 152-153 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 50:1 Unabii wa Isaya II, kur. 152-153
50 Yehova anasema hivi: “Kiko wapi cheti cha talaka+ cha mama yenu, ambaye nilimfukuza? Au niliwauza kwa yupi kati ya wakopeshaji wangu? Tazameni! Mliuzwa kwa sababu ya uovu wenu,+Na mama yenu alifukuzwa kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.+