9 Na ukahaba wake ulifanyika kwa sababu ya maoni yake ya kipuuzi, naye aliendelea kuitia nchi unajisi+ na kufanya uzinzi pamoja na mawe na pamoja na miti;+
25 Katika kila kichwa cha njia ulikijenga kilele+ chako nawe ukaanza kuufanya urembo wako kuwa chukizo+ na kumpanulia miguu yako kila mpita-njia+ na kuzidisha matendo yako ya ukahaba.+