Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+

  • Kumbukumbu la Torati 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+

  • Zaburi 78:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Nao wakaendelea kumtia uchungu kwa mahali pao pa juu,+

      Nao wakaendelea kumchochea awe na wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.+

  • Isaya 65:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nimewanyooshea watu wakaidi+ mikono yangu mchana kutwa, wale ambao wanatembea katika njia ambayo si nzuri,+ wakifuata mawazo yao;+

  • 1 Wakorintho 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Au je, “tunamchochea Yehova kuwa na wivu”?+ Je, sisi tuna nguvu+ zaidi kuliko yeye?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki