Kutoka 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+ Kumbukumbu la Torati 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+ Zaburi 78:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Nao wakaendelea kumtia uchungu kwa mahali pao pa juu,+Nao wakaendelea kumchochea awe na wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.+ Isaya 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nimewanyooshea watu wakaidi+ mikono yangu mchana kutwa, wale ambao wanatembea katika njia ambayo si nzuri,+ wakifuata mawazo yao;+ 1 Wakorintho 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Au je, “tunamchochea Yehova kuwa na wivu”?+ Je, sisi tuna nguvu+ zaidi kuliko yeye?
14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+
58 Nao wakaendelea kumtia uchungu kwa mahali pao pa juu,+Nao wakaendelea kumchochea awe na wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.+
2 “Nimewanyooshea watu wakaidi+ mikono yangu mchana kutwa, wale ambao wanatembea katika njia ambayo si nzuri,+ wakifuata mawazo yao;+