Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+ Wagalatia 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa matendo ya mwili ni wazi,+ nayo ni uasherati,+ uchafu, mwenendo mpotovu,+ Ufunuo 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “ ‘Hata hivyo, una majina+ machache katika Sardi ambayo hayakutia unajisi+ mavazi yao ya nje, nao watatembea pamoja nami wakiwa na mavazi meupe,+ kwa sababu wanastahili.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+
4 “ ‘Hata hivyo, una majina+ machache katika Sardi ambayo hayakutia unajisi+ mavazi yao ya nje, nao watatembea pamoja nami wakiwa na mavazi meupe,+ kwa sababu wanastahili.+