Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+ Zaburi 119:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Tazama! nimeyatamani maagizo yako.+Unihifadhi hai katika uadilifu wako.+ Methali 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kila neno la Mungu ni safi.+ Yeye ni ngao kwao wanaomkimbilia.+
8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+