Kumbukumbu la Torati 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki; Methali 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye baba alikuwa akinifundisha+ na kuniambia: “Moyo+ wako upate kushika sana maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+ Mathayo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Akajibu, akawaambia: “Kwa nini ninyi pia huvunja amri ya Mungu kwa sababu ya mapokeo yenu?+
6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki;
4 Naye baba alikuwa akinifundisha+ na kuniambia: “Moyo+ wako upate kushika sana maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+