2 Mambo ya Nyakati 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wakuu+ wote na watu wote wakaanza kushangilia,+ nao wakaendelea kuleta na kuitia ndani ya lile sanduku+ mpaka wote walipokuwa wametoa. Zaburi 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Mungu wangu, nimependezwa na kufanya mapenzi yako,+Na sheria yako imo ndani yangu.+ Zaburi 119:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nitakusifu katika unyoofu wa moyo,+Ninapojifunza maamuzi yako ya hukumu yaliyo ya uadilifu.+
10 Na wakuu+ wote na watu wote wakaanza kushangilia,+ nao wakaendelea kuleta na kuitia ndani ya lile sanduku+ mpaka wote walipokuwa wametoa.